KARIBUNI SA

Tuesday, May 25, 2010

DAVID SEAMAN NDANI YA KILIMANJARO

David Seaman aliyekuwa mlinda mlango wa timu ya uingereza miaka michache atembelea mlima Kilimanjaro uliopo nchini Tanzania.

Tony Pulis akitoa zawadi ya kikombe kwa nahodha wa timu ya Zara Tours, John. Zara Tours ndio mabingwa wa mashindano ya kampuni za utalii mkoa wa Kilimanjaro

David Seamen akiwa na waongoza watalii wa kampuni ya Zara Adventure mlima Kilimanjaro walikopanda Mei 19 kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kituo cha watoto cha Donna luis Hospice ch a nchi Uingereza.

David Seamen akionyesha ishara ya ushindi mara baada ya kurejea salama kutoka mlima Kilimanjaro alikopanda na wenzake 13.

No comments:

Post a Comment