KARIBUNI SA

Wednesday, April 21, 2010

SIMBA MABINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM 2010/2011


wachezaji wa timu ya Simba wakiwa na kombe lao la ubingwa walilokabidhiwa mara baada ya kumalizika kwa mechi kati yao na watani zao Yanga katika mtanange wa kukata na shoka uliomalizika katika uwanja wa Taifa.Simba ndio mabingwa wapya wa ligi kuu ya Vodacom 2010/11

mashabiki wa simba wakishangilia kwa bidii ndani ya uwanja wa taifa

Mshambuliaji wa Yanga Jerson Tegete akishangila mara baada ya kufunga bao dhidi ya Simba muda mfupi baada ya kuchukua nafasi ya Bonifac Ambani.Katika mchezo huo Simba ilishinda mabao 4-3 huku mawili yakifungwa na Mussa Hassan Mgosi.

mashabiki wa Yanga wakishangilia timu yao ndani ya uwanja wa taifa dsm

simba ndo wanajiamini sana na kubaki kuwashangaa Yanga au ndo utani wa Jadi....

No comments:

Post a Comment