KARIBUNI SA

Monday, April 5, 2010

MAMBO YA PASAKA NDANI YA BOBBYS LODGE DOM

Jumapili ya pasaka wanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma ambao walipata kusoma shule ya sekondari loyola mabibo, dar. vijana hawa loyola alumni association(LAA) wakiambatana na marafiki wenzao walisherekea pasaka kwa namna ya tofauti pale walipoandaa get together party au sherehe ya pamoja na marafiki. sherehe hii ilifanyika katika lodge moja mjini dodoma inayofahamika kama Bobbys ambayo inamilikiwa na mbunge wa dodoma mjini muheshimiwa Madeje

mdau nikiwa na wadau wenzangu

muheshimiwa Ephaim Madeje akiwa na mke wake

hapa Gervas anacheza pakacha pakacha...

hapa dj John kutoka chuo cha sayansi na mawasiliano au info akishughulikia swala la muziki vilivyo.

kushoto ni brian, salum, teri , kanal, manase au mdau mtandao vijana naye alikuwepo

dah usipime watu waliinjoy walikula misosi ya maana. yaani ni kuku na chipsi kama picha inavyoonekana hapo juu.

kushoto ni EVELYNE, JOYCE na AMMY SANGA

kushoto ni mwenyekiti wa shughuli mr. PAUL MASHINGIA, MAKENE MGENI, DAVID

No comments:

Post a Comment