KARIBUNI SA

Monday, March 29, 2010

HUU NDIO MUONEKANO WA CHUO KIKUU DODOMA (UDOM)


Chuo kikuu dodoma ambacho kipo makao makuu ya Tanzania kitakuwa ni moja kati ya vyuo vikuu vikubwa Afrika mashariki na kati. Chuo hichi ambacho kinaendelea kujengwa na kinategemea kuchukua wanafunzi wapatao elfu arobaini kitakapomalizika katika stashahada na shahada tofauti

haya ni moja ya madarasa ambapo wanafunzi wa chuo kikuu dodoma wanayatumia kwa sasa, madarasa haya yanajulikana kama lecture room. pamoja na miundo mbinu mizuri ambayo serikali imeyatoa bado idadi ya waadhiri ni wachache hapa udom ambao husababisha waalimu ambao wanategemea kuwa wale ambao wanajulikana kamba flight lecture. Mimi kama mdau wa globu naipongeza serikali kwa miundo mbinu lakini naomba wawaatutafutie na waalimu maana ubora wa chuo si majengo bali ni elimu wanayoipata.

No comments:

Post a Comment