KARIBUNI SA

Thursday, September 30, 2010

JK APIGA KAMPENI KUFA NA KUPONA

Wakati wengine wakilalamika kwamba hawaoni kilichofanyika bado wapo ambao wanatambua nafasi ya Rais ambaye amemaliza muda wake wa miaka 5. Muheshimiwa Jakaya Kikwete. Hii ni kutokana na kugusa maisha yao mojamoja kama ilivyotokea kwa Dada yetu Bahati ambaye ni mlemavu.

JK akiongea na Bahati Iddi Nzimano, mwanadada mwenye ulemavu wa kutokuwa na mikono yote miwili ambaye mwaka juzi alimsaidia mtaji wa kufungua biashara na sasa Bahati maisha yake ni mswano kabisa licha ya ulemavu alionao.
JE, HUU NI USHABIKI WA KISIASA AU NI UHALISIA WA MAMBO, WE WASEMAJE???

No comments:

Post a Comment