KARIBUNI SA

Friday, August 6, 2010

DK. SLAA AENDELEA KUNGURUMA NCHINI KUTAFUTA WADHAMINI


Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Dk. Wilbroad Slaa akihutubia umati wa wakazi wa Mtwara alikoenda kutafuta udhamini

sehemu ya umati mkubwa wa wakazi wa Mtwara mkutanoni hapo


Mh. Mabere Marando akiongea wakati wa mkutano huo

No comments:

Post a Comment