mdau nikiwa na wadau wenzangu
muheshimiwa Ephaim Madeje akiwa na mke wake

hapa Gervas anacheza pakacha pakacha...

hapa dj John kutoka chuo cha sayansi na mawasiliano au info akishughulikia swala la muziki vilivyo.

kushoto ni brian, salum, teri , kanal, manase au mdau mtandao vijana naye alikuwepo

dah usipime watu waliinjoy walikula misosi ya maana. yaani ni kuku na chipsi kama picha inavyoonekana hapo juu.

kushoto ni EVELYNE, JOYCE na AMMY SANGA

kushoto ni mwenyekiti wa shughuli mr. PAUL MASHINGIA, MAKENE MGENI, DAVID

No comments:
Post a Comment