
JK akiongea na Bahati Iddi Nzimano, mwanadada mwenye ulemavu wa kutokuwa na mikono yote miwili ambaye mwaka juzi alimsaidia mtaji wa kufungua biashara na sasa Bahati maisha yake ni mswano kabisa licha ya ulemavu alionao.
JE, HUU NI USHABIKI WA KISIASA AU NI UHALISIA WA MAMBO, WE WASEMAJE???
No comments:
Post a Comment